Chemchemi za Kiswahili Book 2

Wamitila, Dr. Kyallo W , Waihiga, Gichohi

EPUB

Chemichemi za Kiswahili ni mfulilizo mpya wa vitabu vya kiswahili ambavyo vimetayarishwa kwa kufuata silabasi mpya kwa shule za upili. Kitabu cha chemichemi za kiswahili, kidato cha pili kimezingatia mambo yafuatayo: Vifungu vya ufahamu vya kuvutia na kusisimua vitakavyompa mwanafunzi mafunzo na mazoezi teletele, Maelezo na ufafanuzi mustahili wa vipengele mbalimbali vya fasihi andishi na fasihi simulizi, ufafanuzi wa kina kifaacho kuhusu uandishi wa kawaida, uandishi wa pamoja na mpangilio mpya wa ngeli, mafunzo na mazoezi ya kusikiliza na kuzungumza , usomaji wa makala mbalimbali katika magazeti, majarida, vitabu na kadhalika.

KSh 343.50 LICENCE: 1095 DAYS ONLY
996649521.5
11.67 mb
Austronesian languages, Swahili
2003-01-01
Longhorn Publishers Ltd
Second
1095
5
Unauthorised downloading, copying, distribution or exploitation of this content is an infringement of intellectual property rights and may be a criminal offence. Your purchase and download of this content is for your personal use, and you agree not to modify, copy, or share it with any other person.