Kitabu hiki cha Kiswahili kimetayarishwa na kuchapishwa chini ya mradi wa TUSOME. Kimeandikwa kufuantia mwongozo wa mawanda na mfuatano uliofanyiwa utafiti wa hali ya juu kwa miaka mitatu kitika mradi wa kubiresha ujuzi wa hisabati na usomaji nchini. Utafiti huu uliegemea kubuni njia mwafaka za kufunza usomaji na ufahamu.